Jumatatu, 6 Novemba 2017

Trump: Japan Itayatungua Makombora ya Korea Kaskazini

Trump: Japan Itayatungua Makombora ya Korea Kaskazini


Rais wa Marekani Donald Trump, amesema kwamba Japan itatungua makombora ya Korea Kaskazini, kwa kutumia mitambo ya kijeshi iliyonunuliwa kutoka Marekani.
Wakati huo huo, waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, amesema kwamba, taifa lake litatungua makombora hayo kabla ya kutua ardhini, "ikiwa hilo litahitajika".

Ajibu Awatuliza Mashabiki wa Yanga

Ajibu Awatuliza Mashabiki wa Yanga



STRAIKA wa Yanga, Ibrahim Ajibu amesema kuwa, matokeo yasiyoridhisha wanayoyapata hivi sasa, ni sehemu ya mchezo, hivyo mashabiki waendelee kuwaunga mkono.

Rais Magufuli Ang'ara Uingereza



Viongozi wa Chama Cha Labour nchini Uingereza wamepongeza jitihada za Serikali ya CCM ya awamu ya Tano Chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa kuwa madhubuti katika vita dhidi ya rushwa, ubadhirifu wa mali ya umma na kutetea haki ya watanzania katika

Rais Magufuli Awatumbua Wakurugenzi Wawili Walioshindwa Kujibu Maswali Yake Bukoba




Rais Magufuli Awatumbua Wakurugenzi Wawili Walioshindwa Kujibu Maswali Yake Bukoba

Ad Inside Post