Jumatatu, 19 Januari 2015

Alichosema hasimu wa Floyd Mayweather kuhusu pambano lake na Manny Pacquiao

Rapa aliyekuwa kwenye “Money Team” ya bondia Floyd Mayweather Jr  ’50 Cent’ amezungumzia uwezekano wa pambano la Manny Pacquiao na Floyd Mayweather Jr kufanyika.
50 Cent amesema ” pambano hili halita tokea kama ilivyopangwa sababu May Weather yuko kwenye wakati mzuri kwenye maisha na kazi yake sasa, anaweza kuchagua mtu yeyote wa kupambana naye sio lazima awe Manny, Pia 50 Cent anasema kunauwezekano mkubwa May akachagua pambano la kurudiana na ‘Miguel Cotto’ ” .
Promota Bob Arum alitangaza wiki iliyopita kuwa pambano hili litatokea na Manny ameshakubali ila May bado hajatoa jibu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ad Inside Post