Alhamisi, 21 Mei 2015

Mwanaume aliyefumaniwa na wapenzi wake 17 kwa pamoja amekamatwa na vyombo vya dola

\
Mwanaume mmoja nchini China ambaye amefumaniwa na wapenzi wake wa kike 17 kwa pamoja amekamatwa na vyombo vya dola kwa kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu.
Mwanaume huo kutoka mkoa wa Hunan, aligonga vichwa vya habari baada ya wanawake hao 17 kubaini kuwa wote wanatembea naye wakati walipoenda hospitali kumuangali.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ad Inside Post